Wednesday 2 November 2016

Wanafunzi dsj wafanya ziara kituo cha watoto yatima


 Wanafunzi wa chuo cha uandishi wa habari (DSM) wamefanya ziara ya kutembelea kituo cha watoto yatima kilichopo msimbazi jijini dar es salaam kwa lengo la kutoa msaada wa mavazi ya watoto na chakula.  
                              







                                    

Matonya giggy money damdam milele


video ikimuonesha miss tanzania 2016 Diana lukmai


Wema na Wolper ndani ya china...

wema sepetu na Jackline Wolper, wakiwa kwenye picha ya pamoja na kuwaacha mashabiki zao midomo wazi kutokana na kuwa ikisemekana wawili hao walikua ni chui na paka licha ya kuwa picha hio ilionesha wakionekana wana furaha lakini pia iliwapatia likes nyingi kwenye kurasa zao za instagram...

team ndo zimesababisha wa TZ kukosa tuzo

Akiongea na mtangazaji wa kipindi cha The Playlist cha Times FM, Lil Ommy model huyo wa wimbo wa ‘Salome’ amesema kuwa team ndizo zilizochangia Tanzania ishindwe kupata hata tuzo moja.
“Unajua kwanza sisi Tanzania tuna team, kwahiyo team zinakuwa kama zinatutenganisha, kama zile team zote zingekuwa kitu kimoja labda watanzania wote tungeweza kushinda. Kuna watanzania wengine wanadiriki kuwapigia promo Instagram wanigeria washinde wao,” amesema Mobetto.
Mwanamitindo huyo ameongeza kuwa team hizi zingekuwa na faida kama zingekuwa zinaungana kwenye kitu cha kuiwakilisha nchi. Tazama mahojiano hayo hapa chini.